• HABARI MPYA

    Friday, April 28, 2017

    FELLAINI 'AMTWISHA NDOO' AGUERO, ALIMWA NYEKUNDU...MAN UNITED PUNGUFU YALAZIMISHA SARE ETIHAD

    Sergio Aguero wa Manchester City akienda chini dakika ya sita huku ameshika kichwa baada ya kudai amepigwa kichwa na Marouane Fellaini wa Manchester United (kushoto) ambaye alitolewa kwa kadi nyekundu baadaye dakika ya 84 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Etihad timu hizo zikitoka sare ya 0-0 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: FELLAINI 'AMTWISHA NDOO' AGUERO, ALIMWA NYEKUNDU...MAN UNITED PUNGUFU YALAZIMISHA SARE ETIHAD Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top