Sergio Aguero wa Manchester City akienda chini dakika ya sita huku ameshika kichwa baada ya kudai amepigwa kichwa na Marouane Fellaini wa Manchester United (kushoto) ambaye alitolewa kwa kadi nyekundu baadaye dakika ya 84 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Etihad timu hizo zikitoka sare ya 0-0 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chelsea host Man Utd in Women's FA Cup - see full fifth-round draw
-
Holders Chelsea will take on Manchester United in the fifth round of the
Women's FA Cup - a repeat of last year's final.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment