Nyota wa Manchester City, Leroy Sane akienda chini baada ya kukwatuliwa na Marten de Roon wa Middlesbrough, rafu iliyosababisha penalti ambayo ilifungwa na Sergio Aguero dakika ya 69 kuipatia timu hiyo bao la kwanza katika sare ya 2-2 leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Riverside. Bao lingine la City limefungwa na Gabriel Jesus dakika ya 85, wakati ya Boro yamefungwa na Alvaro Negredo dakika ya 38 na Calum Chambers dakika ya 77 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Iran's famed singer Googoosh recalls family, exile and life in the spotlight
-
DUBAI, United Arab Emirates (AP) — For Googoosh, Iran's most-famous singer,
life always has been balancing act of one kind or another.
26 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment