Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa (kulia) akipokea mpira kutoka kwa Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi jana katika hafla maalum ya kuichangia timu ya taifa yaa vijana chini ya umri wa miaka 17, Serengeti Boys iliyofanyika hoteli ya Serena, Dar ea Salaam
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa baada ya kupiga penalti kulia. Kushoto ni gwiji wa soka ya Tanzania, Kitwana Manara aliyeanza kama kipa na kumaliza kama mshambuliaji ambaye alikuwa kipa jana
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa katika picha ya pamoja na viongozi na wadau mbalimbali
Balozi wa Korea nchini Tanzania, Song Geum-young alikuwepo jana
Kutoka kulia ni Charles Hillary, Mahmoud Zubeiry na Kitwana Manara katika hafla hiyo jana
Shughuli ilipendeza jana kutokana na wadau mbalimbali kujitokeza
Maofisa wa TFF, Eliud Mvella kulia na Wakili Emmanuel Muga
Baadhi ya Waandishi wa Habari waliojitokeza kwenye hafla hiyo
Wataalamu wa Azam TV ambaoo walirusha 'live' shughuli hiyo wakiwa kazini jana
Fatma wa Bodi ya Ligi kulia na Mariam wa TFF kushoto
V8 Supercars star James Courtney opens up about almost burning to death at
the Australian Grand Prix
-
Supercars star James Courtney has spoken about his lucky escape from death
when his car was engulfed by a fireball at Albert Park last year.
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment