• HABARI MPYA

    Sunday, April 30, 2017

    RONALDO AFUNGA, AKOSA PENALTI REAL MADRID YASHINDA 2-1

    Cristiano Ronaldo akiwa hewani kupigwa kichwa kuipatia bao la kuongoza Real Madrid dakika ya 27 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Valencia usiku wa jana Uwanja wa Santiago Bernabeu mjini Madrid kwenye mchezo wa La Liga. Ronaldo pia alikosa penalti dakika ya 56, ambayo iliokolewa na kipa Diego Alves aliyefanya hivyo kwa mara ya 26 katika mikwaju 53 ya matuta aliyowahi kupigiwa. Valencia walitangulia kwa bao la Dani Parejo dakika ya 82, kabla ya Marcelo kuisawazishia Real Madrid dakika ya 86 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: RONALDO AFUNGA, AKOSA PENALTI REAL MADRID YASHINDA 2-1 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top