• HABARI MPYA

    Sunday, April 23, 2017

    ARSENAL YAIFUATA CHELSEA FAINALI YA KOMBE LA FA

    Alexis Sanchez akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Arsenal bao la ushindi dakika ya 101 wakiilaza Manchester City 2-1 katika Nusu Fainali ya Kombe la FA England iliyodumu kwa dakika 120 leo Uwanja wa Wembley, London. Sergio Aguero alianza kuifungia Man City dakika ya 62, kabla ya Nacho Monreal  kuisawazishia Arsenal dakika ya 71 na sasa Washika Bunduki wa London watakutana na Chelsea katika fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ARSENAL YAIFUATA CHELSEA FAINALI YA KOMBE LA FA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top