Alexis Sanchez akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Arsenal bao la ushindi dakika ya 101 wakiilaza Manchester City 2-1 katika Nusu Fainali ya Kombe la FA England iliyodumu kwa dakika 120 leo Uwanja wa Wembley, London. Sergio Aguero alianza kuifungia Man City dakika ya 62, kabla ya Nacho Monreal kuisawazishia Arsenal dakika ya 71 na sasa Washika Bunduki wa London watakutana na Chelsea katika fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chiefs kicker Harrison Butker reveals why he wore pro-life tie in front of
Joe Biden at Kansas City's Super Bowl celebration at the White House
-
During last year's Super Bowl celebration at the White House, Kansas City
Chiefs kicker Harrison Butker wore a pro-life tie in front of Joe Biden in
protes...
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment