Marco Reus na Pierre-Emerick Aubameyang wakipongezana baada ya wote kuifungia Borussia Dortmund katika ushindi wa 3-2 ugenini dhidi ya Bayern Munich katika Nusu Fainali ya Kombe la Ujerumani usiku wa jana Uwanja wa Allianz Arena, Munich. Reus alifunga la kwanza dakika ya 19, aubameyang la pili dakika ya 69 na la tatu lilifungwa na Ousmane Dembele dakika ya 74, wakati ya Bayern yalifungwa na Javi Martinez dakika ya 28 na Mats Hummels dakika ya 41 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The heartache that hampered Marcus Rashford: Mum reveals deaths of Man
United star's cousin and family friend 'set him back a lot' - and warns him
of 'people's intentions around him' after his partying problems
-
In a first-person piece published on Monday, Melanie Maynard said her son
struggled to come to terms with the loss of his cousin and a family friend.
11 minutes ago
0 comments:
Post a Comment