Diego Costa akishangilia baada ya kufunga bao lake la pili jana dakika ya 89, baada ya kufunga lingine dakika ya 53 katika ushindi wa 4-2 dhidi ya wenyeji, Southampton kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Stamford Bridge, London. Mabao mengine ya Chelsea yalifungwa na Eden Hazard dakika ya tano na Gary Cahill dakika ya 45 na ushei, wakati ya Southampton yalifungwa na Oriol Romeu dakika ya 24 na Ryan Bertrand dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chiefs kicker Harrison Butker reveals why he wore pro-life tie in front of
Joe Biden at Kansas City's Super Bowl celebration at the White House
-
During last year's Super Bowl celebration at the White House, Kansas City
Chiefs kicker Harrison Butker wore a pro-life tie in front of Joe Biden in
protes...
19 minutes ago
0 comments:
Post a Comment