• HABARI MPYA

    Thursday, April 27, 2017

    JAMES RODRIGUEZ AFUNGA MAWILI, REAL YASHINDA 6-2 UGENINI BILA RONALDO NA MASTAA KIBAO

    James Rodriguez akifurahia baada ya kufunga mabao mawili dakika za 14 na 66 katika ushindi wa Real Madrid wa 6-2 dhidi ya wenyeji Deportivo La Coruna usiku wa jana kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Manispaa ya Riazor. Mabao mengine ya Real yalifungwa na Alvaro Morata dakika ya kwanza, Lucas Vazquez dakika ya 44, Isco dakika ya 77 na Casemiro dakika ya 87 wakati ya wenyeji yalifungwa na Florin Andone dakika ya 35 na Joselu dakika ya 84. Kocha Zinadine Zidane hakutumia wachezaji tisa aliowaanzisha Jumapili wakifungwa 3-2 na Barcelona, akiwemo Cristiano Ronaldo PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: JAMES RODRIGUEZ AFUNGA MAWILI, REAL YASHINDA 6-2 UGENINI BILA RONALDO NA MASTAA KIBAO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top