Mshambuliaji Mbeligiji, Christian Benteke (kushoto) akiwasanifu mashabiki wa timu yake ya zamani, Liverpool baada ya kuifungia Crystal Palace mabao yote mawili dakika za 42 na 74 katika ushindi wa 2-1 ugenini Uwanja wa Anfield kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo. Bao pekee la Liverpool lilifungwa na Mbrazil, Philippe Coutinho dakika ya 24 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Disgusting moment Miami player punches Indiana rival as he tries to
celebrate national championship win
-
Footage broadcast by ESPN well after the game had concluded showed the
Hurricanes' Fletcher Jr. launching a punch at Tyrique Tucker of the
Hoosiers.
25 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment