Refa David Fields kutoka Marekani akimuondoa bondia Anthony Joshua (kushoto) huku mpinzani wake, Wladimir Klitschko akijikokota kuinuka baada ya kuanguka usiku wa jana Uwanja wa Wembley, London katika pambano la uzito wa juu. Joshua alishinda kwa Technical Knockout (TKO) raundi ya 11 na kutwaa mataji ya IBF, WBA na IBO na ndiye anakuwa bingwa mpya asiyepingika wa uzito wa juu duniani PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Manchester United 3-1 Burnley: Ole Gunnar Solskjaer pleased for 'maturing' Mason Greenwood
-
Manchester United manager Ole Gunnar Solskjaer says Mason Greenwood is
"maturing all the time", after the striker scored twice in a 3-1 win over
Burnley.
32 minutes ago
0 comments:
Post a Comment