Wachezaji wa Chelsea wakishangilia ushindi wao wa mabao 3-0 dhidi ya Everton Uwanja wa Goodison Park, Liverpool kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo. Mabao ya Chelsea yamefungwa na Pedro dakika ya 66, Gary Cahill dakika ya 79 na Willian dakika ya 86 na sasa The Blues wanafikisha pointi 81 baada ya kucheza mechi 34, wakiendelea kuongoza ligi hiyo, wakifuatiwa na Tottenham Hotspur yenye pointi 73 za mechi 33 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Iran's famed singer Googoosh recalls family, exile and life in the spotlight
-
DUBAI, United Arab Emirates (AP) — For Googoosh, Iran's most-famous singer,
life always has been balancing act of one kind or another.
24 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment