• HABARI MPYA

    Thursday, April 27, 2017

    ARSENAL 'WAOKOTA' POINTI TATU KWA MABINGWA LEICESTER CITY

    Nacho Monreal wa Arsenal akikimbia kushangilia baada ya shuti lake kumbabatiza beki wa mabingwa watetezi, Leicester City, Robert Huth na kujifunga dakika ya 86 kuwapatia Washika Bunduki wa London bao pekee la ushindi wa 1-0 usiku wa Jumatano Uwanja wa Emirates kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ARSENAL 'WAOKOTA' POINTI TATU KWA MABINGWA LEICESTER CITY Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top