Fabian Delph akishangilia na Leroy Sane baada ya kuifungia Manchester City bao la tatu katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Hull City Uwanja wa Etihad leo katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya City yamefungwa na Ahmed El Mohamady aliyejifunga dakika ya 31 na Sergio Aguero dakika ya 48, wakati la Hull limefungwa na Andrea Ranocchia dakika ya 85 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Field Yates NFL Mock Draft 2024: J.J. McCarthy to Vikings Among Final
Predictions
-
J.J. McCarthy has been linked to the Minnesota Vikings since the moment
they lost Kirk Cousins to the Atlanta Falcons in free agency. That doesn't
change in…
36 minutes ago
0 comments:
Post a Comment