Son Heung-min akishangilia baada ya kuifungia Tottenham mabao mawili dakika za 44 na 54 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Watford Uwanja wa White Hart Lane, London. Mabao mengine ya Spurs yamefungwa na Dele Ali dakika ya 33 na Eric Dier dakika ya 39 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Hamilton says he plans to race 'well into' his 40s
-
Lewis Hamilton says he will join his old rival Fernando Alonso in racing in
Formula 1 'well into my 40s'.
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment