Antoine Griezmann akiteleza kuiwahi pasi ya Angel Correa kumtungua kipa Keylor Navas wa Real Madrid kuisawazishia Atletico Madrid dakika ya 85 katika sare ya 1-1 kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Bernabeu. Real walitangulia kwa bao la Pepe dakika ya 52 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Too much for Trent! Liverpool star Alexander-Arnold hides on the Reds bench
and stops watching against Everton as title hopes slip away in crushing
Merseyside derby defeat
-
Trent Alexander-Arnold couldn't bare to watch Liverpool's latest Merseyside
derby defeat against Everton as he hid his face after being substituted at
Good...
11 minutes ago
0 comments:
Post a Comment