Roberto Firmino akishangilia na Mbrazil mwenzake, Philippe Coutinho baada ya kuifungia Liverpool bao la pili dakika ya 72 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji Stoke City leo Uwanja wa Bet365, Stoke-on-Trent, Staffordshire kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Bao la kwanza la Liverpool lilifungwa Coutinho dakika ya 70, baada ya Jonathan Walters kuwafungia wenyeji dakika ya 40 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Democrats call for Trump to fire homeland security secretary over Minnesota
crackdown
-
House Minority Leader Hakeem Jeffries warns "we can do this the easy way or
the hard way", as Trump's 'border tsar' arrives in Minneapolis.
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment