Roberto Firmino akishangilia na Mbrazil mwenzake, Philippe Coutinho baada ya kuifungia Liverpool bao la pili dakika ya 72 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji Stoke City leo Uwanja wa Bet365, Stoke-on-Trent, Staffordshire kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Bao la kwanza la Liverpool lilifungwa Coutinho dakika ya 70, baada ya Jonathan Walters kuwafungia wenyeji dakika ya 40 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
South Yorkshire Police confirm they are reviewing footage after viral video
emerges of a man bizarrely biting a young boy's ear at the World Snooker
Championship
-
Seven-time world champion Stephen Hendry was speaking during a break in
play in coverage of the afternoon session when the disturbing moment could
be seen ...
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment