• HABARI MPYA

    Saturday, April 08, 2017

    DAKIKA MBILI TU COUTINHO NA FIRMINO WAIPA USHINDI LIVERPOOL

    Roberto Firmino akishangilia na Mbrazil mwenzake, Philippe Coutinho baada ya kuifungia Liverpool bao la pili dakika ya 72 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji Stoke City leo Uwanja wa Bet365, Stoke-on-Trent, Staffordshire kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Bao la kwanza la Liverpool lilifungwa Coutinho dakika ya 70, baada ya Jonathan Walters kuwafungia wenyeji dakika ya 40 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: DAKIKA MBILI TU COUTINHO NA FIRMINO WAIPA USHINDI LIVERPOOL Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top