Diego Costa (kushoto) akimpongeza mchezaji mwenzake, Eden Hazard baada ya kuifungia Chelsea bao la pili dakika 20 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya wenyeji, AFC Bournemouth leo Uwanja wa Vitality katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya Chelsea yalifungwa na Adam Smith aliyejifunga dakika ya 17 na Marcos Alonso dakika ya 68 wakati la wenyeji lilifungwa na Josh King dakika ya 42 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Coco Gauff's behind-the-scenes meltdown at the Australian Open: World No 3
smashes racket in a rage after losing in just 59 minutes - and it was all
caught on camera
-
Coco Gauff channeled her fury after losing her Australian Open
quarter-final into repeatedly smashing her racquet in the tunnel just
moments after stepping...
21 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment