Diego Costa (kushoto) akimpongeza mchezaji mwenzake, Eden Hazard baada ya kuifungia Chelsea bao la pili dakika 20 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya wenyeji, AFC Bournemouth leo Uwanja wa Vitality katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya Chelsea yalifungwa na Adam Smith aliyejifunga dakika ya 17 na Marcos Alonso dakika ya 68 wakati la wenyeji lilifungwa na Josh King dakika ya 42 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL Draft 2024 Big Board: Best Available Players After Day 1
-
Round 1 of the 2024 NFL draft is complete. While the opening night saw many
of the top prospects come off the board, it's important to remember that
the dr...
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment