• HABARI MPYA

    Tuesday, September 13, 2016

    LUKAKU AMALIZA UKAME WA MABAO KWA HASIRA, APIGA HAT TRICK EVERTON YAICHAPA 3-0 SUNDERLAND

    Romelu Lukaku akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza Everton tangu Machi katika mchezo wa Ligi Kuu ya England dhidi ya Sunderland usiku wa jana. Everton ilishinda 3-0 Uwanja wa Light, mabao yote akifunga Lukaku dakika za 60, 68 na 71  PICHA ZAIDI GONGA HAPA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: LUKAKU AMALIZA UKAME WA MABAO KWA HASIRA, APIGA HAT TRICK EVERTON YAICHAPA 3-0 SUNDERLAND Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top