• HABARI MPYA

    Sunday, September 11, 2016

    BARCELONA WACHEZEA KICHAPO NYUMBANI CAMP NOU, WAPIGWA 2-1

    Wachezaji wa Barcelona, Lionel Messi (kushoto) na Neymar (kulia) wakilalamika baada ya timu yao kufungwa mabao 2-1 nyumbani Uwanja wa Camp Nou na Alaves iliuopanda La Liga msimu huu. Mabao ya Alaves yalifungwa na Deyverson na Ibai Gomez wakati la Barca lilifungwa na Jeremy Mathieu PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BARCELONA WACHEZEA KICHAPO NYUMBANI CAMP NOU, WAPIGWA 2-1 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top