Mwanasoka bora wa Ulaya, Cristiano Ronaldo (kulia) akishangilia na mchezaji mwenzake wa Real Madrid, Gareth Bale baada ya kufunga katika ushindi wa 5-2 dhidi ya Osasuna kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Bernabeu. Mabao ya Real yalifungwa na Ronaldo dakika ya sita, Danilo dakika ya 41, Ramos dakika ya 45, Pepe dakika ya 56 na Modric dakika ya 62, wakati ya Osasuna yalifungwa na Riera dakika ya 64 na David Garcia dakika ya 78 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
County cricket's civil war is breaking out - LAWRENCE BOOTH reveals secret
meeting of 'have nots' as the Hundred threatens 11 counties with looming
'cliff edge' of spiralling costs, their best players being pinched and
'irrelevance or failure'
-
The meeting was called due to increasing worries among non-host counties
about spiralling costs and inflation. A document seen by Daily Mail Sport
flagged ...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment