Wanamitindo wakionyesha jezi za Yanga SC watakazotumia katika Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara msimu ujao katika hafla ya kukabidhi vifaa vya michezo kwa timu zote za ligi kutoka kwa wadhamini, Vodacom Tanzania iliyofanyika leo mjini Dar es Salaam
Wanamitindo wakionyesha jezi za Mbeya City watakazotumia katika Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara msimu ujao
Wanamitindo wakionyesha jezi za Simba SC watakazotumia katika Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara msimu
Wanamitindo wakionyesha jezi za Toto Africans watakazotumia katika Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara msimu ujao katika hafla iliyofanyika leo mjini Dar es Salaam PICHA ZAIDI GONGA HAPA
0 comments:
Post a Comment