• HABARI MPYA

    Sunday, May 01, 2016

    TOTO LA PELE LAWAPIGA MBILI LIVERPOOL WAFA 3-1 KWA SWANSEA

    Mshambuliaji wa Swansea City, Andre Ayew ambaye ni mtoto wa gwiji wa soka Afrika, Mghana Abedi Pele akishangilia baada ya kufunga mabao mawili jioni ya leo katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Liverpool Uwanja wa Liberty dakika ya 20 na 67. Bao lingine la Swansea limefungwa na Jack Cork dakika ya 33, wakati la kufutia machozi la Liverpool limefungwa na Christian Benteke dakika ya 65 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: TOTO LA PELE LAWAPIGA MBILI LIVERPOOL WAFA 3-1 KWA SWANSEA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top