Mshambuliaji wa Swansea City, Andre Ayew ambaye ni mtoto wa gwiji wa soka Afrika, Mghana Abedi Pele akishangilia baada ya kufunga mabao mawili jioni ya leo katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Liverpool Uwanja wa Liberty dakika ya 20 na 67. Bao lingine la Swansea limefungwa na Jack Cork dakika ya 33, wakati la kufutia machozi la Liverpool limefungwa na Christian Benteke dakika ya 65 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
REVEALED: Chiefs star Rashee Rice is working with renowned wide receiver
coach as he continues to prepare for 2024 NFL season despite police
investigation into 119mph crash
-
A video showing Kansas City Chiefs wide receiver Rashee Rice preparing for
the 2024 season has been making the rounds on social media.
28 minutes ago
0 comments:
Post a Comment