Mshambuliaji wa Swansea City, Andre Ayew ambaye ni mtoto wa gwiji wa soka Afrika, Mghana Abedi Pele akishangilia baada ya kufunga mabao mawili jioni ya leo katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Liverpool Uwanja wa Liberty dakika ya 20 na 67. Bao lingine la Swansea limefungwa na Jack Cork dakika ya 33, wakati la kufutia machozi la Liverpool limefungwa na Christian Benteke dakika ya 65 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Head century drives England closer to Ashes defeat
-
England are pushed towards the precipice of the fastest Ashes series defeat
in more than 100 years as a Travis Head century maintains Australia's grip
on t...
51 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment