Beki wa Bosnia-Herzegovina, Emier Spahic akimpa mkono wa uso kiungo wa Hispania Cesc Fabregas wakati wa mchezo wa kirafiki wa kimataifa baina ya timu hizo usiku wa Jumapili nchini Uswisi. Spahic alitolewa kwa kadi nyekundu Hispania ikiilaza Bosni 3-1. Mabao ya Hispania yamefungwa na Nolito mawili na lingine Pedro wakati la Bosnia limefungwa na Spahic PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Miss Rwanda 2021 contestants to join boot camp today
-
A total of 20 contestants will today start a two-week boot camp at La
Palisse Hotel Nyamata as Miss Rwanda 2021 enters the decisive stage.
Contestants el...
13 minutes ago
0 comments:
Post a Comment