Kipa wa Cameroon, Fabrice Ondoa akiruka bila mafanikio kuokoa mchomo wa Dimitri Payet wa Ufaransa katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa usiku wa jana Uwanja wa Nantes, Ufaransa. Ufaransa ilishinda 3-2, mabao yake yakifungwa na Matuidi dakika ya 20, Giroud dakika ya 41 na Payet dakika ya 90, wakati ya Cameroon yalifungwa na Aboubakar dakika ya 22 na Choupo-Moting dakika ya 87 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rasmus Hojlund admits he was 'bothered' by criticism during Man United goal
drought in the Premier League... and claims it was 'great to shut people
up' as he accuses critics of jealousy
-
The Dane went 14 games without a Premier League goal after joining from
Atalanta for £72million, despite scoring five goals in the Champions League
group s...
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment