Kipa wa Cameroon, Fabrice Ondoa akiruka bila mafanikio kuokoa mchomo wa Dimitri Payet wa Ufaransa katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa usiku wa jana Uwanja wa Nantes, Ufaransa. Ufaransa ilishinda 3-2, mabao yake yakifungwa na Matuidi dakika ya 20, Giroud dakika ya 41 na Payet dakika ya 90, wakati ya Cameroon yalifungwa na Aboubakar dakika ya 22 na Choupo-Moting dakika ya 87 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Former Ghana U20 captain Issahaku Konda joins Estonian giants Paide Linnameeskond
-
Estonian top-flight side Paide Linnameeskond have signed Ghanaian defender
Issahaku Konda, GHANAsoccernet.com can confirm.The 21-year-old central
defender ...
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment