• HABARI MPYA

    Wednesday, May 25, 2016

    MWALI MWINGINE HUYOO JANGWANI

    Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi (kushoto) akimkabidhi Kombe la shirikisho hilo, maarufu kama Kombe la Azam Sports Federation Cup (ASFC), Nahodha wa Yanga, Nadir Haroub 'Cannavaro' (kulia) baada ya kuifunga Azam FC mabao 3-1 katika fainali jioni ya leo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam

    Wachezaji wa Yanga wakisherehekea na Kombe lao baada ya kukabidhiwa leo Uwanja wa Taifa

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MWALI MWINGINE HUYOO JANGWANI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top