Mshambuliaji kinda wa Manchester United, Marcus Rashford akikimbia kushangilia baada ya kuifungia England bao dakika ya tatu akiichezea mara ya kwanza timu ya taifa ya wakubwa katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Australia kwenye mchezo wa kirafiki wa kimataifa usiku wa jana Uwanja wa Light, Sunderland. Bao lingine la England limefungwa na Nahodha Wayne Rooney dakika ya 55, wakati la wageni limefungwa na nyota wa Tottenham, Eric Dier aliyemfunga kipa wake, Fraser Forster dakika ya 75 katika harakati za kuokoa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Manchester City vs Wolves - Premier League: Live score, lineups and updates
-
Pep Guardiola's men look certain to lift yet another league title after
pulling well clear of their rivals, and they can take one more step closer
with a v...
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment