Kinda Cameron Borthwick-Jackson akisaini Mkataba wa miaka minne kuendelea kuichezea Manchester United hadi mwaka 2020 kufuatia mwanzo mzuri msimu huu baada ya kupandishwa kutoka timu ya vijana. Makinda wengine waliosainishwa ni pamoja na Marcus Rashford hadi mwaka 2020 pia, wakilipwa Pauni 25,000 kwa wiki kutoka Pauni 1,500 kwa wiki na wote wanasaini siku mbili baada ya Mreno, Jose Mourinho kutangazwa kuwa kocha mpya wa klabu hiyo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Eric Comrie makes 34 saves, Winnipeg Jets top Buffalo Sabres 4-1
-
WINNIPEG — Eric Comrie made 34 saves and Kyle Connor scored his
team-leading 15th goal of the season as the Winnipeg Jets downed the
Buffalo Sabres 4-1 on ...
19 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment