SERENGETI BOYS WAIPA 3-0 MALAYSIA NA KUSHINDA NAFASI YA TATU INDIA
Wachezaji wa Tanzania wakishangilia baada ya kukabidhiwa zawadi za ushindi wa tatu wa michuano ya Vijana chini ya umri wa miaka 16 nchini India maarufu kama AIFF Youth Cup kufuatia kuifunga Malaysia mabao 3-0 mchana wa leo mjini Goa. Mabao ya Serengeti yamefungwa na Rashid Abdallah dakika ya 13, Shaaban Zuberi dakika ya 41 na Mushin Malima dakika ya 45 na ushei
Ogun donates land to FG to develop inland dry port
-
From Idu Jude, Abuja The Government of Ogun State has donated over 130
hectares of land to the federal government of Nigeria for the development
of an in...
0 comments:
Post a Comment