• HABARI MPYA

    Wednesday, May 25, 2016

    MAHADHI ATUA YANGA, ATAMBULISHWA PAMOJA NA KESSY TAIFA

    Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano ya Yanga, Jerry Muro akiwatambulisha wachezaji wapya wa timu hiyo, kiungo Juma Mahadhi (kulia) kutoka Coastal Union ya Tanga na beki Hassan Kessy (kushoto) kutoka Simba SC jioni ya leo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kabla ya fainali ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), maarufu kama Kombe la Azam Sports Federation Cup (ASFC) kati ya timu hiyo na Azam FC  
     Kessy (mwenye kofia) aliyesaini kutoka kwa mahasimu, Simba katikati ya mashabiki wa Yanga jukwaani akifuatilia mchezo wa fainali ya Kombe la ASFC 

    Kessy na jezi yake  ya Yanga jukwaani leo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAHADHI ATUA YANGA, ATAMBULISHWA PAMOJA NA KESSY TAIFA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top