• HABARI MPYA

    Tuesday, May 24, 2016

    NYOTA YA MIRIAM ODEMBA BADO YANG'ARA 'MIAKA 800'

    Mwanamitindo maarufu Mtanzania anayeishi Ufaransa, Miriam Odemba akishiriki onyesho la Cannes Film Festival mjini Cannes, Ufaransa mwishoni mwa wiki. Miriam aliibuka mwaka 1997 aliposhinda Miss Temeke na hadi sasa bado anang'ara kwenye anga za ulimbwende na mitindo
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: NYOTA YA MIRIAM ODEMBA BADO YANG'ARA 'MIAKA 800' Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top