• HABARI MPYA

    Wednesday, May 25, 2016

    KAPTENI CHINA AKIPOKEA NDOO YA LIGI KUU KUTOKA KWA MZEE WARIOBA 1987

    Nahodha wa Yanga, Athumani Abdallah Mchabwa ‘Athumani China’ (kushoto) akipokea kikombe cha ubingwa wa Ligi Daraja la Kwanza (sasa Ligi Kuu) Tanzania Bara kutoka Waziri Mkuu na Makamu wa kwanza wa Rais, Jaji Joseph Warioba mwaka 1987  
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KAPTENI CHINA AKIPOKEA NDOO YA LIGI KUU KUTOKA KWA MZEE WARIOBA 1987 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top