Beki, kiungo na mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Said Nassor Mwamba ‘Kizota’ akiwa na jezi ya Fanja nchini Oman moja ya klabu alizochezea enzi za uhai wake, nyingine zikiwa Yanga, Simba, Kariakoo United ya Lindi na Twiga ya Kinondoni alikomalizia soka yake. Kizota ni kati ya vipaji vya hali ya juu kuwahi kutokea katika ardhi ya Tanzania.
Elon Musk's Terafab is here: What it is, and why it's important for Tesla
and SpaceX
-
Tesla and SpaceX CEO Elon Musk unveiled what might be his grandest
overarching vision for where he sees his companies headed.
24 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment