• HABARI MPYA

    Wednesday, May 11, 2016

    SAID MWAMBA KIZOTA ALIKUWA ZAIDI YA FUNDI

    Beki, kiungo na mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Said Nassor Mwamba ‘Kizota’ akiwa na jezi ya Fanja nchini Oman moja ya klabu alizochezea enzi za uhai wake, nyingine zikiwa Yanga, Simba, Kariakoo United ya Lindi na Twiga ya Kinondoni alikomalizia soka yake. Kizota ni kati ya vipaji vya hali ya juu kuwahi kutokea katika ardhi ya Tanzania.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SAID MWAMBA KIZOTA ALIKUWA ZAIDI YA FUNDI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top