• HABARI MPYA

    Friday, May 06, 2016

    LIVERPOOL YATINGA FAINALI EUROPA LEAGUE BAADA YA KUIPIGA 3-0 VILLARREAL

    Mshambuliaji wa kimataifa wa England, Daniel Sturridge akishangilia bao lake na nyota wa Brazil, Philippe Coutinho na Firmino katika ushindi wa 3-0 wa Liverpool dhidi ya Villarreal kwenye mchezo wa marudiano wa Nusu Fainali ya Europa League usiku wa Alhamisi Uwanja wa Anfield. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Bruno Soriano na Adam Lallana na sasa Wekundu hao wa Anfield wanasonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 3-1 baada ya wiki iliyopita kufungwa 1-0 Hispania na watakutana na Sevilla katika fainali mjini Basel Mei 18 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: LIVERPOOL YATINGA FAINALI EUROPA LEAGUE BAADA YA KUIPIGA 3-0 VILLARREAL Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top