Kinda wa Chelsea, Bertrand Traore akipambana na mkongwe bwa Liverpool, Kolo Toure katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Anfield, timu hizo zikitoka sare ya kufungana bao 1-1. Bao la Liverpool lilifungwa na Christian Benteke dakika ya 93, baada ya Eden Hazard kutangulia kuifungia Chelsea dakika ya 31 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chargers GM Eyes More Than 'Fair Trade' to Deal No. 5 Pick in 2024 NFL Draft
-
The Los Angeles Chargers could be willing to give up their No. 5 pick in
next week's NFL draft, but general manager Joe Hortiz wants more than just
a "fair…
54 minutes ago
0 comments:
Post a Comment