Beki wa Sunderland, Younes Kaboul akishangilia na wenzake mbele ya mashabiki kufurahia timu yao kunusurika kushuka daraja kufuatia ushindi wa 3-0 dhidi ya Everton katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Light. Mabao ya Sunderland yalifungwa na Patrick van Aanholt na Lamine Kone mawili . Timu zilizoshuka daraja England ni Newcastle United, Norwich City na Aston Villa, wakati Leicester City tayari wanasherehekea ubingwa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Premier League 'agrees a £40m deal with Guinness' to replace Budweiser as
their new beer partner... with the firm 'beating competition from Heineken'
-
Budweiser has been the Premier League's beer sponsor for the past five
years having also been been associated with the FA Cup, but Guinness will
take the t...
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment