• HABARI MPYA

    Thursday, May 12, 2016

    SUNDERLAND YANUSURIKA KUSHUKA DARAJA ENGLAND, NEWCASTLE, NORWICH NA VILA 'BYE-BYE'

    Beki wa Sunderland, Younes Kaboul akishangilia na wenzake mbele ya mashabiki kufurahia timu yao kunusurika kushuka daraja kufuatia ushindi wa 3-0 dhidi ya Everton katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Light. Mabao ya Sunderland yalifungwa na Patrick van Aanholt na Lamine Kone mawili . Timu zilizoshuka daraja England ni Newcastle United, Norwich City na Aston Villa, wakati Leicester City tayari wanasherehekea ubingwa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SUNDERLAND YANUSURIKA KUSHUKA DARAJA ENGLAND, NEWCASTLE, NORWICH NA VILA 'BYE-BYE' Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top