• HABARI MPYA

    Saturday, April 09, 2016

    UZINDUZI WA FRESCO MIXED FRUITS NDANI YA AZAM TV

    Mashabiki Hatibu Athumani wa Yanga (kulia) na Shaaban Mohammed wa Azam FC (kushoto) wakinywa kinywaji cha Fresco Mixed Fruits kinachozalishwa na kampuni ya Bakhresa Food Products wakati wa uzinduzi wake leo kwenye studio za Azam TV, Tabata, Dar es Salaam
    Hatibu na Shaaban wakifurahia kinywaji chao cha Fresco Mixed Fruits
    Meneja Mauzo na Masoko wa Bakhresa Food Product, Ibrahim Wasome, Said Hassan Sheikh Meneja Msaidizi wa Ubora wa Bidhaaa wakiwa na Mtangazaji wa Azam TV, Ahmed Abdallah
    Waandishi na mashabiki waliohudhuria uzinduzi wa kinywaji hicho leo
    Mashabiki wa Azam FC wakifuatilia uzinduzi wa kinywaji hicho
    Waalikwa mbalimbali wakifuatilia uzinduzi huo leo Tabata, Dar e Salaam

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: UZINDUZI WA FRESCO MIXED FRUITS NDANI YA AZAM TV Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top