• HABARI MPYA

    Saturday, April 23, 2016

    IHEANACHO APIGA MBILI MAN CITY IKIUA 4-0 ENGLAND

    Mshambuliaji wa kimataifa wa Nigerian, Kelechi Iheanacho akimtungua kipa wa Stoke City, Jakob Haugaard aliyetokea benchi kuifungia bao la nne Manchester City katika ushindi wa 4-0 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Etihad. Iheanacho alifunga mawili, mengine mawili akifunga Sergio Aguero moja kwa penalti PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: IHEANACHO APIGA MBILI MAN CITY IKIUA 4-0 ENGLAND Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top