Mshambuliaji wa kimataifa wa Nigerian, Kelechi Iheanacho akimtungua kipa wa Stoke City, Jakob Haugaard aliyetokea benchi kuifungia bao la nne Manchester City katika ushindi wa 4-0 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Etihad. Iheanacho alifunga mawili, mengine mawili akifunga Sergio Aguero moja kwa penalti PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Olympics shock as star makes stunning defection to Australia - and he could
challenge Gout Gout
-
New Zealand's fastest man Eddie Osei-Nketia has officially changed
allegiances in a move that could have major ramifications for Australian
sprinting ahead...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment