• HABARI MPYA

    Wednesday, April 27, 2016

    SIMBA WA VITA, MZEE KAWAWA NA MASHUJAA WA TANZANIA LAGOS 1973

    Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Makamu wa Rais, Rashid Mfaume Kawawa (katikati, sasa marehemu) maarufu kwa jina la Simba wa Vita enzi za uhai wake, akiwa na wanamichezo wa Tanzania waliofanya vizuri kwenye Michezo ya Afrika (AAG) mwaka 1973 mjini Lagos, Nigeria – bondia Habib Kinyogoli ‘Master’ (kulia) aliyetwaa Medali ya Shaba na mwanariadha Filbert Bayi aliyeshinda Medali ya Dhahabu
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SIMBA WA VITA, MZEE KAWAWA NA MASHUJAA WA TANZANIA LAGOS 1973 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top