Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Makamu wa Rais, Rashid Mfaume Kawawa (katikati, sasa marehemu) maarufu kwa jina la Simba wa Vita enzi za uhai wake, akiwa na wanamichezo wa Tanzania waliofanya vizuri kwenye Michezo ya Afrika (AAG) mwaka 1973 mjini Lagos, Nigeria – bondia Habib Kinyogoli ‘Master’ (kulia) aliyetwaa Medali ya Shaba na mwanariadha Filbert Bayi aliyeshinda Medali ya Dhahabu
Cat steals the spotlight during music exam with surprise stage entrance
-
A university music exam took an unexpected turn in eastern China when a
curious cat wandered onto the stage mid-performance. The moment unfolded on
January...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment