• HABARI MPYA

    Wednesday, April 27, 2016

    ATLETICO MADRID YAIKALISHA BAYERN MUNICH VICENTE CALDERON

    Nyota wa Atletico Madrid, Saul Niguez akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao pekee katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Bayern Munich ya Ujerumani kwenye Nusu Fainali ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku huu Uwanja wa Vicente Calderon. Timu hizo zitarudiana wiki ijayo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ATLETICO MADRID YAIKALISHA BAYERN MUNICH VICENTE CALDERON Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top