Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo akienda chini baada ya kupitiwa na beki wa Villarreal, Daniele Bonera katika mchezo wa La Liga usiku wa Jumatano Uwanja wa Santiago Bernabeu. Real imeshinda 3-0, mabao ya Karim Benzema, Lucas Vazquez na Luka-Modric PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Australia withdraw from Afghanistan T20 series
-
Australia withdraw from their men's T20 series against Afghanistan in
August because of continued restrictions on women and girls under the
ruling Taliban ...
11 minutes ago
0 comments:
Post a Comment