Kiungo wa Chelsea, Willian akimvisha kanzu kipa wa Bournemouth, Boruc kumalizia pasi ya Fabregas kuifungia Chelsea katika ushindi wa 4-1 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Vitality. Mabao ya Chelsea yamefungwa na Pedro, Hazard mawili na Willian, huku la wenyeji likifungwa na Elphick Uwanja wa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mortified footy star's hilarious gaffe that left Danika Mason in stitches
-
Bulldogs NRL star Viliame Kikau was left red-faced on live television on
Thursday following a post-game interview with Channel Nine presenter Danika
Mason.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment