Kiungo wa Chelsea, Willian akimvisha kanzu kipa wa Bournemouth, Boruc kumalizia pasi ya Fabregas kuifungia Chelsea katika ushindi wa 4-1 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Vitality. Mabao ya Chelsea yamefungwa na Pedro, Hazard mawili na Willian, huku la wenyeji likifungwa na Elphick Uwanja wa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jordan Montgomery's Top FA Landing Spots After Blake Snell's Contract with
Giants
-
Reigning National League Cy Young winner Blake Snell finally agreed to a
reported two-year, $62 million contract with the San Francisco Giants on
Monday,…
47 minutes ago
0 comments:
Post a Comment