• HABARI MPYA

    Friday, April 29, 2016

    DEPORTIVO TENERIFE 'WAMSAJILI' YUSSUF BAKHRESA

    Mkurugenzi wa Soka wa Club Deportivo Tenerife (kulia), akimkabidhi jezi ya timu hiyo, Mkurgenzi wa Azam FC ya Tanzania, Yussuf Bakhresa leo makao makuu ya klabu hiyo mjini Tenerife, Hispania
    Yussuf yupo Hispania kufuatilia majaribio ya winga wa Azam FC, Farid Mussa katika klabu hiyo

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: DEPORTIVO TENERIFE 'WAMSAJILI' YUSSUF BAKHRESA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top