• HABARI MPYA

    Monday, April 25, 2016

    AZAM FC ILIVYOTINGA FAINALI KOMBE LA ASFC JANA MWADUI

    Mshambuliaji Mkenya wa Azam FC, Allan Wanga akipasua katikati ya wachezaji wa Mwadui FC jana katika mchezo wa Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), maarufu kama Kombe Azam Sports Federation Cup (ASFC) Uwanja wa Mwadui Complex, Shinyanga. Azam FC ilishinda kwa penalti 5-3 baada ya sare ya 2-2 ndani ya dakika 120 

    Mshambuliaji wa Azam FC, John Bocco akiwatoka wachezaji wa Mwadui FC
    Kkungo wa Azam FC, Salum Abubakar 'Sure Boy' akipambana na kiungo wa Mwadui
    Kiungo wa Azam FC, Frank Domayo (kushoto) akimtoka beki wa Mwadui, David Luhende
    Kiungo wa Azam FC, Ramadhani Singano 'Messi' akimiliki mpira katika ya wachezaji wa Mwadui
    Kiungo wa Azam FC, Himid Mao (kulia) akimlamba chenga kiungo wa Mwadui
    Kiungo wa Azam FC, Khamis Mcha 'Vialli' akiwatoka wachezaji wa Mwadui FC

    Kikosi cba Azam FC jana Uwanja wa Mwadui Complex, Shinyanga 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: AZAM FC ILIVYOTINGA FAINALI KOMBE LA ASFC JANA MWADUI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top