Connor Wickham wa Crystal Palace akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la pili dakika ya 79 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Watford leo Uwanja wa Selhurts Park katika mchezo wa Nusu Fainali ya Kombe la FA England. Bao lingine la Palace limefungwa na Yannick Bolasie dakika ya sita wakati la Watford limefungwa na Troy Deeney dakika ya 55. Palace sasa watamenyana na Manchester United katika fainali Mei 21. United iliitoa Everton jana kwa mabao 2-1 pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Football fans could face £1,000 fine and banning order as part of new
police crackdown following chaotic scenes at Wembley Euros final
-
The practice, which has been commonplace for years and which came to light
amid chaotic scenes at England's European Championship Final with Italy,
will no...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment