Connor Wickham wa Crystal Palace akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la pili dakika ya 79 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Watford leo Uwanja wa Selhurts Park katika mchezo wa Nusu Fainali ya Kombe la FA England. Bao lingine la Palace limefungwa na Yannick Bolasie dakika ya sita wakati la Watford limefungwa na Troy Deeney dakika ya 55. Palace sasa watamenyana na Manchester United katika fainali Mei 21. United iliitoa Everton jana kwa mabao 2-1 pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mortified footy star's hilarious gaffe that left Danika Mason in stitches
-
Bulldogs NRL star Viliame Kikau was left red-faced on live television on
Thursday following a post-game interview with Channel Nine presenter Danika
Mason.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment