Connor Wickham wa Crystal Palace akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la pili dakika ya 79 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Watford leo Uwanja wa Selhurts Park katika mchezo wa Nusu Fainali ya Kombe la FA England. Bao lingine la Palace limefungwa na Yannick Bolasie dakika ya sita wakati la Watford limefungwa na Troy Deeney dakika ya 55. Palace sasa watamenyana na Manchester United katika fainali Mei 21. United iliitoa Everton jana kwa mabao 2-1 pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Winnipeg woman dies after 11-hour wait in ER
-
A Winnipeg woman died at St. Boniface Hospital after waiting 11 and 12
hours on two separate visits. Now the family is waiting to learn the cause
of death,...
55 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment