Connor Wickham wa Crystal Palace akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la pili dakika ya 79 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Watford leo Uwanja wa Selhurts Park katika mchezo wa Nusu Fainali ya Kombe la FA England. Bao lingine la Palace limefungwa na Yannick Bolasie dakika ya sita wakati la Watford limefungwa na Troy Deeney dakika ya 55. Palace sasa watamenyana na Manchester United katika fainali Mei 21. United iliitoa Everton jana kwa mabao 2-1 pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man United co-owner Sir Jim Ratcliffe 'confident of luring Gareth Southgate
to Old Trafford as England boss emerges as the overwhelming choice' to
replace Erik ten Hag after INEOS hold talks with club legends
-
Ratcliffe is increasingly confident of tempting Southgate to Old Trafford
after his INEOS sports team canvassed United legends.
7 minutes ago
0 comments:
Post a Comment