Kiungo wa kimataifa wa Brazil, Roberto Firmino wa Liverpool akimiliki mpira mbele ya beki wa Newcastle, Paul Dummett katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Anfield, timu hizo zikitoka sare ya 2-1. Liverpool ilitangulia kwa mabao ya Daniel Sturridge na Adam Lallana, kabla ya Newcastle kusawazisha kupitia kwa Papiss Cisse na Jack Colback PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Wemby drills game-winner to lift Spurs past Suns, clinch first playoff
berth since 2019
-
Victor Wembanyama hit a game-winner over Oso Ighodaro in the final seconds
on Thursday night at the Frost Bank Center.
38 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment