Kiungo wa kimataifa wa Brazil, Roberto Firmino wa Liverpool akimiliki mpira mbele ya beki wa Newcastle, Paul Dummett katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Anfield, timu hizo zikitoka sare ya 2-1. Liverpool ilitangulia kwa mabao ya Daniel Sturridge na Adam Lallana, kabla ya Newcastle kusawazisha kupitia kwa Papiss Cisse na Jack Colback PICHA ZAIDI GONGA HAPA
‘Forced to preserve a monument’: how the fate of Marilyn Monroe’s LA home
became a legal saga
-
House where Monroe died, which hasn’t been occupied in seven years, is in
limbo after current owners wanted to demolish it but were stopped by a
public cam...
13 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment