Kiungo wa kimataifa wa Brazil, Roberto Firmino wa Liverpool akimiliki mpira mbele ya beki wa Newcastle, Paul Dummett katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Anfield, timu hizo zikitoka sare ya 2-1. Liverpool ilitangulia kwa mabao ya Daniel Sturridge na Adam Lallana, kabla ya Newcastle kusawazisha kupitia kwa Papiss Cisse na Jack Colback PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Trans darts star was left bed-bound by 'scary' abuse after taking a women's
qualifying place in the World Darts Championship: Noa-Lynn Van Leuven
speaks out before Ally Pally return
-
Van Leuven, 29, is making her return to the World Darts Championship this
week against Peter Wright a year after becoming the first transgender woman
to ev...
24 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment