Mshambuliaji Divock Origi akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la tatu katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Stoke City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Anfield. Origi alifunga mabao mawili, wakati mengine yamefungwa na Alberto Moreno na Daniel Sturridge na la Stoke limefungwa na Bojan Krkic PICHA ZAIDI GONGA HAPA
On-strike Cristiano Ronaldo FAILS to stop Karim Benzema's Saudi swap
transfer and now faces uncertain future on his £488,000-a-day deal as his
club Al-Nassr go into media blackout
-
Ronaldo has reportedly been aggrieved that Al-Hilal have a net spend
£180million higher than that of his own team since the 2022-23 season, when
he arrived.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment