Mshambuliaji Divock Origi akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la tatu katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Stoke City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Anfield. Origi alifunga mabao mawili, wakati mengine yamefungwa na Alberto Moreno na Daniel Sturridge na la Stoke limefungwa na Bojan Krkic PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL Draft 2024: Taylor Swift approves of the Chiefs picking Xavier Worthy
as Travis Kelce's girlfriend likes a video of Kansas City's new star being
selected
-
The pop sensation - and Travis Kelce 's girlfriend - has become an avid
Chiefs fan in recent months thanks to her high-profile relationship with
the Super ...
30 minutes ago
0 comments:
Post a Comment