• HABARI MPYA

    Sunday, April 10, 2016

    ORIGI APIGA MBILI, LIVERPOOL YAIKANDAMIZA STOKE 4-1

    Mshambuliaji Divock Origi akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la tatu katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Stoke City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Anfield. Origi alifunga mabao mawili, wakati mengine yamefungwa na Alberto Moreno na Daniel Sturridge na la Stoke limefungwa na Bojan Krkic  PICHA ZAIDI GONGA HAPA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ORIGI APIGA MBILI, LIVERPOOL YAIKANDAMIZA STOKE 4-1 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top