Kiungo wa Tottenham Hotspur, Dele Alli akikimbia kushangilia baada ya kufunga bao la kwanza dakika ya 70 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Manchester United kwenye nchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa White Hart Lane. Mabao mengine ya Spurs yamefungwa na Toby Alderweireld dakika ya 74 na Erik Lamela dakika ya 76. Spurs inafikisha pointi 65 baada ya kucheza mechi 33 na kuendelea kukaa nafasi ya pili, nyuma ya Leicester City yenye pointi 72 za mechi 33 pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Phil Foden has flourished under Pep Guardiola's new tactics, delivered on
the biggest occasions and SMASHED his best ever goal tally... how the
England star went from supporting cast to Man City's main man
-
Phil Foden is now Manchester City's leading man, firing the Premier League
giants to a record fourth successive title and heavy favourite for PFA
Player of...
19 minutes ago
0 comments:
Post a Comment