• HABARI MPYA

    Sunday, April 10, 2016

    SPURS YAIKANYAGA MAN UNITED 3-0 KWA DAKIKA SITA TU

    Kiungo wa Tottenham Hotspur, Dele Alli akikimbia kushangilia baada ya kufunga bao la kwanza dakika ya 70 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Manchester United kwenye nchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa White Hart Lane. Mabao mengine ya Spurs yamefungwa na Toby Alderweireld dakika ya 74 na Erik Lamela dakika ya 76. Spurs inafikisha pointi 65 baada ya kucheza mechi 33 na kuendelea kukaa nafasi ya pili, nyuma ya Leicester City yenye pointi 72 za mechi 33 pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SPURS YAIKANYAGA MAN UNITED 3-0 KWA DAKIKA SITA TU Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top