![]() |
| Mshambuliaji wa Azam FC, Kipre Tchetche akiuvutia kasi mpira dhidi ya beki wa Ndanda |
![]() |
| Kiungo wa Azam FC, Kipre Balou akitafuta maarifa ya kuuondoa mpira kwenye himaya ya wachezaji wa Ndanda FC |
![]() |
| KIpre Tchetche akimtoka beki wa Ndanda jana Chamazi |
![]() |
| Viungo William Lucian 'Gallas' wa Ndanda (kushoto) na Mudathir Yahya wa Azam FC wakigombea mpira |
![]() |
| Beki wa Azam FC, Erasto Nyoni (kulia) akimtoka mchezaji wa Ndanda jana Chamazi |








.png)
0 comments:
Post a Comment