SIKU ZOTE HIZO CHOVE ALIKUWA HANA NAMBA YA IVO, AU?
Makipa wa zamani wa Yanga, Jackson Chove (kulia) anayechezea Ndanda FC na Ivo Mapunda (kushoto) anayechezea Azam FC wakipeana namba za simu baada ya kukutana Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam jana wakati timu zao (Azam na Ndanda) zikimenyana katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara uliomalizika kwa sare ya 2-2. Chove na Mapunda wote ni makipa wa akiba katika timu zao kwa sasa
Ogun donates land to FG to develop inland dry port
-
From Idu Jude, Abuja The Government of Ogun State has donated over 130
hectares of land to the federal government of Nigeria for the development
of an in...
0 comments:
Post a Comment