Mshambuliaji Sadio Mane akipongezwa na wachezaji wenzake wa Southampton baada ya kufunga mabao mawili katika ushindi wa 3-2 dhidi ya Liverpool kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa St Mary's, wakitoka nyuma kwa mabao 2-0. Bao lingine la Southampton limefungwa na Graziano Pelle, wakati mabao ya Liverpool yamefungwa na Philippe Coutinho na Daniel Sturridge PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Former Newcastle star is named manager of new UAE side Al Qabila ahead of
their first top flight season in Dubai as the the club tease arrival of
'legendary' ex-defender
-
The club released a video on TikTok telling fans that they would be
unveiling their new head coach, who they said was a 'legend' whose
experience was 'unma...
25 minutes ago
0 comments:
Post a Comment